April 24, 2019


IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu, AS Kigali, Masoud Djuma ambaye alikuwa kocha msaidizi wa Simba amefungashiwa virago na mabosi wake hao kutokana na mwenendo mbovu ndani ya klabu hiyo.

Djuma, kipenzi cha wana Msimbazi alijiunga na AS Kigali Oktoba mwaka jana baada ya kuachana na Simba kwa kile kilichoelezwa kushindwa kuwa na maelewano na bosi Patrick Aussems.

Djuma akiwa na AS Vita aliongoza timu hiyo kwenye michezo 23 ambapo alishinda michezo saba na ametoa sare michezo 9 na kupoteza michezo saba akiwa nafasi ya saba.


2 COMMENTS:

  1. As Vita au As Kigali?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tumeshamzoea mwandishi anakuwaga na typing error kibao. Anaweza kuwa anaongelea ngumi Mara animalizia na riadha hawagi serious

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic