April 7, 2019



LEO Beach Soccer League 2019 inaendelea ambapo timu sita zitashuka Uwanja maalumu uliopo Karume kumenyana kama ifuatavyo:-

Buza FC itamenyana na Vingunguti Kwanza majira ya saa 8:30 asubuhi.

Tanzania Prisons dhidi ya Mburahati FC majira ya saa 09:30 asubuhi.

Friends of Mkwajuni dhidi ya Ilala FC majira ya 10:30 asubuhi.

Hakuna kiingilio, mashabiki wote mnaombwa kutia timu na mratibu wa mashindano ya Beach Soccer Kassan Jonathan.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic