MANARA ATAJA UTOFAUTI WA PATRICK AUSSEMS NA MWINYI ZAHERA 'KAFUNDISHA NDOMBOLO'
Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, ametaja utofauti wa makocha Mwinyi Zahera wa Yanga na Patrick Aussems wa Simba.
"Tofauti ya kocha wa mpira na kocha wa Sunsumia au kibao kata unafungwa unawapongeza wa shindi na kukubali mapungufu yako angekuwa yeye!!!
Waamuzi wanatuonea mimi nimefundisha ulaya mika Arobaini (Ukigogle huoni timu alizo fundisha zaidi ya kufundisha kucheza Ndombolo na Mayenda) oooh Simba inabebwa leo Fei Toto hawakuvaa boksa na hawajala toka juzi!!!
"Ila akishinda sasa ninafuu kupiga gitaa kuliko Diblo na ile fasi ya putuluu imekuja na Ndege na ndio mana sisi wa Congo tunapendwa na madada wa kibongo .
Kocha mzuri huzungumzia vitu Technical na sio Riwaya kwa mahawala wako wanao tumia mkorogo wa buku" ameandika Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram.
chonde Manara kukaa kimya nako ni jibu
ReplyDeleteahsante sana kwa kututusi wana yanga
ReplyDeleteAfuu manara ndio maana watu huwa wanakutusi kwann usiwe kana dismas
ReplyDeleteDismis ? Dismis Ten aliishambulia Simba na kuwanadi Vita itawapiga 8 - 0. Wote hawa wanaropoka, ndio utani tulieni zamu yenu ikifika na nyie mtasema
DeleteNashindwa kuelewa manara ni msemaji au ila hayo one day yatakuja kukushinda ni vibaya mno kudharau professional ya mtu hujui yeye anawaza nn sometimes utan uishie kwa niny wasemaj na sijui kama manara na zahera wana utan kama huo
ReplyDeleteKwangu dismas ten nae ni msemaji?
ReplyDeleteIngelikua makocha wote wanaongea kama zehera ingelikuwa kazi kwelikweli
ReplyDeleteKocha unakua na heshma na unaangalia professional yako zaid
ReplyDeleteManara anastahili kushitakiwa kwa haya matusi ya mtandaoni
ReplyDeleteManara ameongea ukweli unaouma, ila nido ukweli.
DeleteNa huu ndio ukweli mtupu.Yeyote anayebisha aweke timu alizofundisha Ulaya kwa muda wa miaka 20.Mapoyoyo wanakubali chochote anachosema bila kufanya utafiti.Huyo sio kocha ni mhamasishaji tu.
ReplyDeleteManara ni Afisa habari(Msemaji) Zahera ni Kocha, Manara kazi yake kusema na analipwa mshajara kwa kazi hiyoo,, Zahera Sasaa,, badala atulie kupambana na Patrick Aussen anapambana na Manaraaa..😂😂😂
ReplyDeleteManara ni Afisa habari(Msemaji) Zahera ni Kocha, Manara kazi yake kusema na analipwa mshajara kwa kazi hiyoo,, Zahera Sasaa,, badala atulie kupambana na Patrick Aussen anapambana na Manaraaa..😂😂😂
ReplyDelete