April 22, 2019


Kikosi cha Simba Queens kimeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake.

Magoli ya Simba yamefungwa na Opah Clement (2), Mwanahamisi Omary, Joele Bukulu na Amina Ramadhani.

Bao pekee la Yanga Princess likifungwa na Fausta Thomas.

Katika mchezo wa raundi ya kwanza Simba iliibuka pia na ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya watani zao.

2 COMMENTS:

  1. Tunawafunga wanaume,wanawake,vijana nä hata ikiwepo timu ya watoto tunawafunga tu.Migongo wazi maneno matupu.

    ReplyDelete
  2. Duh hamsa....ngoja waje watueleze kulikoni?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic