June 3, 2019


Mechi zote za leo za Playoff zimekamilika kwa timu zoe kutoshana nguvu huku wote wakitamba kupata matokeo mchezo wa mwisho utakaochezwa Juni 8 mwaka huu.

Mechi za mwisho ndizo ziakazoamua timu ambayo itapanda daraja ama kubaki kwenye ligi kati ya Mwadui ama Kagera kubaki TPL ama Geita na Pamba kupanda msimu ujao.

FT: Pamba SC 0-0 Kagera Sugar, uwanja wa Nyamagana Pamba walikuwa wenyeji.

FT: Geita Gold FC 0-0 Mwadui FC, uwanja wa Nyankumbu Girls ambao Geita walikuwa wenyeji.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic