June 12, 2019


ERASTO Nyoni, beki kiraka wa Simba rasmi ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Nyoni anakuwa ni mchezaji wa tatu kwa Simba kutangazwa kwamba ameongeza mkataba wa kuitumikia klabu hiyo ambayo maskani yake yapo mitaa ya Msimbazi, Dar.

Wachezaji wengine ni pamoja na John Bocco ambaye ameongeza mkataba wa miaka miwili pamoja na mlinda mlango Aishi Manula ambaye ameongeza mkataba wa miaka mitatu na wote walisaini kabla ya kwenda Misri kushiriki michuano ya Afcon.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic