July 3, 2019


MITANDAO maarufu duniani ya Instagram na Facebook na WhatsApp imekumbwa na tatizo la kuwa chini dunia nzima ambapo baadhi ya watumiaji wameeleza kushindwa kupakia picha, hukuwa wengine wakisema hawawezi kuperuzi picha.

Wamiliki wa mitandao hiyo bado hawajatoa taarifa rasmi juu kuhusu chanzo cha Matatizo hayo, huku watumiaji wengi duniani wakilalamika Kutokana na matatizo hayo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic