July 30, 2019

SALIM Aiyee. mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa wana imani ya kupata matokeo mbele ya Kenya kwenye mchezo wa marudio.

Stars ina kibarua cha kutafuta matokeo chanya kwenye mchezo wa marudio utakachezwa Kenya Agosti 4 baada ya mchezo wa kwanza kulazimisha sare ya bila kufungana.

Aiyee amesema kuwa:"Ushindani utakuwa mkubwa ila kutokana na mazoezi pamoja na mbinu mpya kutoka kwa benchi la ufundi tunaamini tunakwenda kufanya vizuri.

"Bado tuna nafasi ya kupata matokeo ugenini kwani mchezo wa mpira ni dakika tisini hivyo tunakwenda kupambana,mashabiki waenelee kutupa sapoti" amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic