August 14, 2019


Nyota wa zamani wa klabu ya Yanga pamoja na Timu ya Taifa ya Tanzania Juma Pondamali amesema ndapo klabu ya Yanga ikifanya vizuri msimu huu ni lazima ataimba wimbo maalu wa klabu ya hiyo.

Pondamali ambaye ni mchezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), tayari ameshaachia video ya ngoma yake mpya iitwayo Mwanamke Heshima ambayo amefanya na mkali wa Singeli nchini, Msaga Sumu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic