Kila Jumatano sasa kampuni ya mambo ya kubeti ya SportPesa, itakuwa ikifanya droo na waliobeti kujishindia simu.
Mshambuliaji nyota wa Simba, Meddy Kagere naye alipata nafasi ya kuingia ndani na kujaribu utamu wa zawadi kubwa ya mwisho wa drop hiyo ambayo ni gari la kisasa.
kama hiyo haitoshi, droo kubwa itafuatia na mshindi ataibuka na mchuma mpya ambao wachezaji wa Yanga, Patrick Sibomana na Dues Kaseke nao walijitokeza na kuushuhudia.
Mkurugenzi wa SportPesa, Abbas Tarimba amesema wanaendelea kuwajali wapenda mpira na wateja wao na wameshirikiana na kampuni ya Tigo kufanya mambo yawe moto zaidi.








0 COMMENTS:
Post a Comment