MANARA AMKINGIA KIFUA NCHIMBI, AWACHANA MASHABIKI WALIOPONDA KUITWA KWAKE STARS Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefunguka kuhusiana na baadhi ya mashabiki walihoji suala la Ditram Nchimbi kuitwa Taifa Stars, hiki hapa alichoandika.
Kama kawa blog ya Akilimali na Manara kipaumbele zaidi
ReplyDeletehahaahah jamaa hawajui kuzalisha news hawa
DeleteWe mwenyewe ulikua wapi kuongea kabla ya Jana. Manara acha kujikosha.
ReplyDeleteIko kifua angekinga kabla ya mechi,,,sahiz anajikosha tu kuonekana mwema
ReplyDeleteangeongea mumeo antonio nugaz ndo ungemwelewa
Delete