WABABE wa Manchester City wanataka kuboresha zaidi kikosi chao kwa kuongeza nguvu ya kutosha kwa kuinasa saini ya mwamba mmoja kutoka Afrika.
Wolves ambao waliibamiza City mabao 2-0 kwenye mchezo wa Premier League wanaisaka saini ya Franck Kessie ambaye ni kiungo.
Kessie raia wa Ivory Coast anakipinga ndani ya klabu ya AC Milan kwa sasa.
0 COMMENTS:
Post a Comment