November 13, 2019


Taarifa zilizopo hivi sasa zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya KMC upo kwenye mazungumzo na Simba Sc kwa ajili ya kumsajili mchezaji kinda, Rashid Juma.

Inaelezwa kuwa Simba wanataka kumsajili Juma kwa huduma ya mkopo kipindi cha dirisha dogo la usajili wa ligi.

Dirisha hilo litafunguliwa siku mbili zijazo ambapo itakuwa ni Novemba 5 mwaka huu.

Juma amekuwa na bahati ya kucheza ndani ya kikosi cha wakubwa akitokea Simba B

6 COMMENTS:

  1. Duh ... nadhani huu ndo uandishi wa mwendokasi!!!!!

    ReplyDelete
  2. Mchezaji huyo huyo anasajiliwa kwa mkopo ndani ya timu yake? Daaaaaaaaaaahhhh!!!! sina la kuongeza kwa kweli. Au mwandishi alikuwa na haraka ya kuandika?

    ReplyDelete
  3. Waandishi hawa ni wa ajabu sana

    ReplyDelete
  4. simba wanataka kumsajili rashid juma kwa mkopo novemba 5 mhhhh kweli hii mpya ya funga mwaka

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic