Manara amesea hayo kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Pyramids FC katika mchezo wa ligi jana dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Taifa.
Manara ameeleza kuwa wanatamani kufikisha alama hizo ili kuweka rekodi ya aina yake japo akikiri si rahisi sababu kila timu ina malengo ya kupata matokeo.
"Msimu huu tuna malengo ya kufikisha alama 100 kwenye ligi ili kuweka rekodi ya aina yake.
"Najua ligi ni ngumu na kila timu inapanga kushinda hivyo lazima tukutane na changamoto, Simba haiwezi kushinda kila kitu."








rekebisha chapisho lako!
ReplyDeletejana Simba haikucheza na Piramids.