Viongozi Yanga waache Ubabaishaji mchezaji hawezi kusema uongo juu ya maisha yake mwenyewe, hiyo barua ni uongo mtupu, tutapoteza wachezaji wazuri kwa ubabaishaji na utoaji wa taarifa zisizo rasmi.NAIPENDA YANGA.
Msimwamini sana Morrison alishashitakiwa Afrika ya Kusini kwa utapeli...wachezaji wa Afrika Magharibi wanafahamika kwa ulaghai na tamaa ya fedha na uongouongo
Viongozi Yanga waache Ubabaishaji mchezaji hawezi kusema uongo juu ya maisha yake mwenyewe, hiyo barua ni uongo mtupu, tutapoteza wachezaji wazuri kwa ubabaishaji na utoaji wa taarifa zisizo rasmi.NAIPENDA YANGA.
ReplyDeleteMsimwamini sana Morrison alishashitakiwa Afrika ya Kusini kwa utapeli...wachezaji wa Afrika Magharibi wanafahamika kwa ulaghai na tamaa ya fedha na uongouongo
Delete