KISA FEDHA ZA SIMBA, MORRISON AOGOPA KUUAWA, NDAN YA CHAMPIONI JUMATANO MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano. Lipo mtaani jipatie nakala yako ujishindie ndinga mpya kabisa itakayotoka hivi karibuni.
Kama kweli ulichukua pesa na unaogopa kuuwawa, si uzirudishe? Lakini kweli uuwawe kwa dola 5,000 tuu au umechota parefu?
ReplyDeletehufai
ReplyDeleteAmechuwa pesa simba hao kandambili aka GONGOWAZI wanamfosi mbona hawajaweka mkataba ukaonekana hadharani wanaandika hako kakaratasi kao GONGOWAZI mnashida sana
ReplyDeleteKisheria Hersi hana nguvu za kisheria kusaini doc za yanga, hiyo ni m8kataba binafsi kama ipo
ReplyDeleteKufupisha stori mkataba uwekwe hadharani ili ijulikana nani mkweli na nani mwongo kati ya mchezaji na klabu. Vinginevyo ni kuendeleza malumbano yanayoathiri image ya timu
ReplyDeleteHuyu Jamaa Hatufai Mpira Anawez Ila Akili Hana
ReplyDeleteMuhimu viongozi wa hizi timu zetu wawe makini wanapodili na wachezaji wa kigeni, baadhi yao wako kimaslahi zaidi
ReplyDelete