Watazomea sana hamna timu zaidi ya kusifiwa kwenye magazeti na kubebwa na refa magoli 2 ya azam yamekataliwa wamepata penati imekataliwa mnabebwa tu haooooo GONGOWAZI haooooo
Niwakumbushe wajibu wa mshabiki ni kushangilia na kuzomea,so hayo ni malipo ya kusajili wachezaji wabovu mbona awamzomei jumma abdul, yondani au niyonzima. kila siku yhipe molinga ukweli usiofichika wale co wacheza mpira, msola kama co mwalimu wa mpira mcheazaji km yhipe anachezaje yanga? alafu mnawalipa kabisa salary kwa kazi gani wanayofanya? ndio muache 10% kuleta wachezaji wabovu. co kuzomea wachezaji wabovu ipo siku watazomea mpaka viongozi na kupigwa mtapigwa.
Watazomea sana hamna timu zaidi ya kusifiwa kwenye magazeti na kubebwa na refa magoli 2 ya azam yamekataliwa wamepata penati imekataliwa mnabebwa tu haooooo GONGOWAZI haooooo
ReplyDeleteWaandishi wanamhoji mzee wa Utopolo**** Basis waseme nani wa kihojiwa.
ReplyDeleteNiwakumbushe wajibu wa mshabiki ni kushangilia na kuzomea,so hayo ni malipo ya kusajili wachezaji wabovu mbona awamzomei jumma abdul, yondani au niyonzima. kila siku yhipe molinga ukweli usiofichika wale co wacheza mpira, msola kama co mwalimu wa mpira mcheazaji km yhipe anachezaje yanga? alafu mnawalipa kabisa salary kwa kazi gani wanayofanya? ndio muache 10% kuleta wachezaji wabovu. co kuzomea wachezaji wabovu ipo siku watazomea mpaka viongozi na kupigwa mtapigwa.
ReplyDelete