August 30, 2020

 

Mapema leo Agosti 30, 2020 Mkuu wa kitengo cha Masoko Global Publishers, Adam Antony ameongoza zoezi la kuwakabihi tiketi za kuingilia uwanjani kushuhudia sherehe za  Kilele cha Wiki ya Mwananchi ambapo mashabiki wamejitokeza kwa wingi.

 

Walikabidhi mashabiki ambao walikutwa wakilisoma gazeti hilo katika viunga vya Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.











0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic