KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa hana tatizo na mshambuliaji namba moja wa kikosi hicho Meddie Kagere.
Imekuwa ikielezwa kuwa Sven na Kagere hawaivi chungu kimoja jambo ambalo lilikuwa likimfanya amsotesha benchi nyota huyo ndani ya kikosi cha Simba.
Tayari kwa sasa ameanza kumtumia nyota huyo ambaye ametupia jumla ya mabao saba ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21.
Jana, Uwanja wa Mkapa wakati Simba ikishinda mabao 4-0 dhidi ya Ihefu FC alitupia mabao mawili na kutimiza majukumu yake ndani ya uwanja.
Sven amesema:"Sijui haya aneno huwa yanatoka wapi ila ninachojua mimi ni kwamba kila mchezaji ndani ya kikosi cha Simba ni muhimu na wote ninafanya nao mazungumzo.
“Wachezaji wangu kwa asilimia kubwa wanapambana na sitaki kuona kwamba wanakuwa wanakosolewa kwa namna yoyote ile. Lawama zao zote lazima zije kwangu na isiwe kwao.
"Sina ugomvi na mchezaji na siwezi kumhukumu kwa masuala ya nje ya uwanja mimi ninachohitaji ni kuona kwamba kila mmoja anatimiza majukumu ndani ya uwanja," .
Mwandishi acha usenge wa kutengeneza habari yenye lengo la kuvuruga simba, wewe kama umetumwa wahi gsm kachukue hela yako ila lengo lango hutafanikiwa. Hiyo habari uliivumisha kipindi kile ikapita bila mafanikio ya nini tena leo unairudisha humu? Acheni upuuzi bwana
ReplyDeleteUmeshindwa kuandika habari za mechi ya leo unataka kutuhamishia kule tena? Hata kama mnalipwa tumieni hata akili kidogo mliyonayo kubalance stories wapuuzi ninyi
ReplyDeleteWameona kagere ameanza kufunga uoga umeanza ndio maana wanafufua habari za kijinga
ReplyDeleteMakanjanja wanalipwa kwa kuandika uzushi na ujinga.Nenda GSM ukapewe bahasha yako.
ReplyDeleteMwandishi huyu pumbu kweli,badala aelezee mechi zenye znaendelea na mapungufu yake,anatuletea stori za kikuda
ReplyDeleteNagikiri ni huyo ndie alieandika kuwa Kagere keshapokea mkwanja makubwa kutoka yanga kwa kuhamia huko na pia Chama ni kati ya wachezaji 25 wa kigeni anaowatangaza kuhamia yanga
ReplyDeleteSijui kwa nini waandishi wengi humu wana mambo ya kipumbuwavu sana
ReplyDeleteMkundu wa punda wewe
ReplyDeleteHajaandika utumbo wao walio bahatosha hilo goli la kufosi vyura huyu na hao kandambili wenzake
ReplyDeleteWandishi Tz hawana elimu mradi ujuwe kuandika na kusona basi unakuwa muandishi. Na kibaya zaidi hawajuwi kuwa wasomaji wao wanaupeo mkubwa kuliko wao
Delete