December 29, 2020

 


Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoingia kambini Januari Mosi,2021 kwa ajili ya mashindano ya Chan 2021 na mechi mbili za kirafiki hiki hapa:-

Aishi Manula wa Simba

Juma Kaseja wa KMC

Dan Mgore wa Biashara United

Abdutwalib Mshery wa Mtibwa Sugar

Shomari Kapombe wa Simba

Israel Mwenda wa KMC

Edward Manyama wa Namungo

Yassin Mustapha wa Yanga

Bakari Mwamnyeto wa Yanga

Agrey Morris wa Azam FC

Erasto Nyoni wa Simba

Carlos Protos wa Namungo

Said Ndemla wa Simba

Baraka Majogoro wa Mtibwa Sugar

Yusuph Mhilu wa Kagera Sugar

Ayoub Lyanga wa Azam

Feisal Salum wa Yanga

Rajab Athuman wa Gwambina

Ditram Nchimbi wa Yanga

John Bocco ni Simba

Deus Kaseke yeye Yanga

Lucas Kikoti wa Namungo

Farid Mussa wa Yanga

Adam Adam wa JKT Tanzania

Dickson Job wa Mtibwa Sugar

Abdulrazack Hamza wa Mbeya City U 20

Khelfinnie Salum wa U 20 Azam FC

Samwel Jackson wa U 20 Ihefu

Omari Omari wa u 17

Paschal Gaundence wa U 20 Azam FC

9 COMMENTS:

  1. Mimi siyo kocha,lakini kutojumuishwa kwenye kikosi kwa Metacha mnata na Mohamed Hussein naona kuna tatizo

    ReplyDelete
  2. Metacha Mnata,Mohamed Hussen na Jonas Mkude mbona sijawaona pia mudathir YAHAYA? Ayoub Lyanga ana kiwango gan kuwazid pia akina DAVID LUHENDE,HASSAN DILUNGA na SURE BOY?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nidhamu, hali ya kujituma, kupokea maelekezo ya Kocha, na utimamu wa tabia ni moja ya vigezo mficho vya uchaguzi wa jeshi la ushindi.

      Delete
  3. Metacha out unamuita Kaseja kweli.....

    Mohamed Hussein out

    Hivi Majogoro kweli yaaani......

    ReplyDelete
  4. Naona mtu fulani alikunywa pombe kuzidi kiasi

    ReplyDelete
  5. Wapi mohammed hussein na metacha hii ni ni zaidi ya pombe aise hata kama sisi si makocha hapa hapana

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic