Dakika 90 zilikamilika kwa ubao kusoma Nkana FC 1-0 Namungo na kufanya ipoteza jumla ya mechi zote nne ambazo imecheza mpaka sasa na ipo nafasi ya nne bila pointi.
Katika mchezo uliopita baina ya timu hizo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar, Namungo ilikubali kichapo cha bao 1-0.
Akizungumza na Saleh Jembe, Morocco amesema:"Ni uzoefu ambao unatupatia shida na kutufanya tusipate matokeo mazuri.
"Mapungufu ambayo tunayaona tutayafanyia kazi ili kupata matokeo kwenye mechi zetu zijazo," .
Bao la ushindi kwa Nkana FC lilipachikwa na Fredy Tshemega dakika ya 71.
0 COMMENTS:
Post a Comment