May 28, 2021


 KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes leo Mei 28 kimewasili Mtwara ili kuunganisha safari kuelekea Ruangwa. 


Kesho Mei 29 kina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Bara,

Ni mchezo wa kwanza kwa Namungo v Simba kumenyana ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21.

Miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Chris Mugalu, Meddie Kagere, Taddeo Lwanga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic