VIDEO: ISHU YA CAS HAINA FAIDA KWA YANGA, AJIBU NI MCHEZAJI MZURI KUHUSU kesi ya Cas Jembe anaamini kwamba haina faida pia ameweka wazi kwamba bao alilofunga mbele ya Namungo FC ni moja kati ya bao bora.
Saleh Jembe upenzi wako kwa Simba unapitiliza na unashindwa kuheshimu miiko ya uandishi kwa kutanguliza ushabiki badala ya hoja ya nguvu
ReplyDeleteShida yenu nyie hamtaki kuambiwa ukweli
DeleteTatizo wa wachambuzi wetu ujuajikwa kila kitu, kumbe zero
ReplyDeletenyie mtafutie timu nyingine sio yanga,kwan alivyokua anaondoka mbona hamkumwambia abaki panamfaa,tena mkome kabisa nyie chawa wa simba.kwan timu zingine hamzioni km namungo au mtibwa tena mtuache
ReplyDeleteHuyu ni kichwa nazi koroma. Lazima walipe gharama za kuvunja mkataba na adhabu zingine zinazoambatana nazo, nukta
ReplyDelete