Kwa upande wa Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania, Malale Hamsini amesema kuwa aliwaambia wachezaji wake mapema kwamba wawe makini na mipira iliyokufa jambo ambalo lilikuwa tofauti kwao na mwisho ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Polisi Tanzania 0-1 Simba.
0 COMMENTS:
Post a Comment