VIDEO: MIKWARA YA HAJI MANARA AKIONGOZA MSAFARA WA MOPAO HAJI Manara msemaji wa Yanga jana Agosti 28 alikuwa mstari wa mbele kumpokea papa Mopao ambaye leo atatoa burudani Uwanja wa Mkapa.
Wacha ajikamue Zaidi kwa kufanya kazi yake Yanga ila akifanya kwa kuwaonesha Simba yeye ni nani atajisumbua, Nguvu ya simba ipo kwa Mo kwa uwezo Mungu inshaAllah na wametumia tuli.
ReplyDelete