September 3, 2021


 KLABU ya Simba imeweka wazi kuwa kwa sasa jezi mpya kwa msimu wa 2021/22 zinapatikana kwenye maduka yote ya Vunja Bei.

Ezekiel Kwamwaga, Kaimu Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa kutokana na maombi ya mashabiki wengi wa Simba kuzihitaji jezi hizo wakaona hakuna tatizo wakaamua kuziruhusu zipatikane madukani.

"Awali ilikuwa tumepanga kuzindua rasmi Septemba 4 kutokana na maombi ya mashabiki wengi wa Simba tumeamua kuziruhusu kupatikana katika maduka ya Vunja Bei.


"Ni jezi nzuri na bora na kila shabiki ajivunie na apate jezi yake orijino nina amini kwamba hakuna ambaye ataweza kupenda kuona anavaa kitu feki hilo halipo hivyo kila mmoja ajipatie jezi mpya.

"Kuhusu uzinduzi siku ya Jumamosi bado upo palepale na tutatoa utaratibu namna mambo yatakavyokuwa ni suala la kusubiri na kuona," .

12 COMMENTS:

  1. Hapa tofauti Ni rangi maudhui ni Yale yale lazima Baba aigwe anzia Kola,mchanganyo wa rangi nk hivi hua Ni viashiria pale mwanaume anapoletewa mtoto bila kujua Ni wake ,watu huangalia masikio,pua miguu nk , ndiyo maana tukasubiri kwanza Baba atoe vyake maana angetukana ,kweli Mwananchi Vidume ndiyo maana Mama J Pamoja na Umkia wake alikolea,Tatizo Ni Watoto kutojitambua hamna jipya hapo Ni Copy and paste then Edit na Print.

    ReplyDelete
  2. Nikiangalia kwa makini muonekano wa jezi za kijivu ni kama jezi za Yanga za mazoezi za msimu uliopita

    ReplyDelete
  3. Ww vp uzihuo unaweza kufananisha na zile zamisukule ht haya huna

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ubongo wako mzito kupambanua ndo maana huwezi kufananisha

      Delete
  4. Hanna jez aponiyaleyale tu tofaut nirangitu

    ReplyDelete
  5. Hizi ni jezi au sanda?

    ReplyDelete
  6. Hahaha...dhuu! Yaani giza hatari

    ReplyDelete
  7. Msema ukweli ni mpenzi wa mungu,na wapendao ukweli

    ReplyDelete
  8. Jex nzuri lakini fisi haigi digidigi mpe heshima yake mbele ya fisi

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic