TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jana Oktoba 4 ilianza mazoezi, Uwanja wa Mkapa kwa ajili ya maandalizi ya ya kujiaandaa na mchezo dhidi ya Benin Oktba 7.
Hawa hapa ni wachezaji walioanza mazoezi chini ya Kim Poulsen ambaye ni Kocha Mkuu.
Makipa
Ramadhan Kabwili
Metacha Mnata
Aishi Manula
Wilbol Maseke
Mabeki
Kibwana Shomari
Edward Manyama
Kenedy Juma
Mohamed Hussein
Dickson Job
Nickson Kibabage
Kiungo
Sopu
Mzamiru Yassin
Feisal Salum
Idd Seleman
Washambuliaji
John Bocco
Kibu Denis
Meshack Abraham
Relliants Lusajo
Kenedy Juma si tuliambiwa kashonwa nyuzi 6? Na hutu kabwili ana kazi gani hapa wakati hatujamwona hata huko yanga hana namba?
ReplyDeleteUnaliwa wewe
DeleteBenin wanafungika!Wapigwe 2-0
ReplyDeleteMsuva na Samagol VP hatujawaona
ReplyDeleteSema shida iko hapo kwenye full back za kulia
ReplyDeleteShida yako nini kama uliambiwa ameshonwa nyuzi sita acha kuuliza maswali ambayo ayana msing
ReplyDeleteSafu ya ulinzi hasa Julia naona tuwaamin tu waliopo lakini Ni Kama imepwaya flani hivi.. Let's go Stars
ReplyDeleteHIVI TIMU YA TAIFA HII INADHAMINIWA KWA UBORA UNAOTAKIWA AU ???
DeleteIsrael mwenda safari hii hakuitwa?
ReplyDeleteKwamba wengine timu zao hazijawaruhusu, au ndo ile fulani anaujua sana ko acheze tu
ReplyDeleteHivi hii timu bado IPO. ....????????
ReplyDelete