SECOND HALF
Ronaldo ameinuka na kuanza
kutrot, huku mashabiki katika uwanja wa Santiago Bernabeu wakishangilia kwa
nguvu.
SUB:
DK 56 anaingia Ronaldo anatoka Benzema
anaingia Khadeira anatoka Kaka
Dk 64 Valdes anaokoaa shuti kali la mpira wa faulo wa Ronaldo
Dk 70..FAULO Madrid 13..Barcelona 12
Dk 71 Madrid wanafanya sub ya mwisho, anatoka Coentrao anaingia Arbeloa
Dk 81 GOOOOOO....Sergio Ramos anapiga bao kwa kichwa baada ya kona iliyopigwa na ModricDk 64 Valdes anaokoaa shuti kali la mpira wa faulo wa Ronaldo
Dk 70..FAULO Madrid 13..Barcelona 12
Dk 71 Madrid wanafanya sub ya mwisho, anatoka Coentrao anaingia Arbeloa
Dk 87 Shuti la faulo la Ronaldo linagonga mwamba na kurudi uwanjani
FULL TIME
Kipa Valdes analambwa kadi nyekundu baada ya mechi kwisha, alimfuata mwamuzi na kuzozana naye
££££££££
HALF TIME
Hadi mapumziko matokeo ni 1-1
Real Madrid wamepata bao lao
kupitia Benzema na Barcelona, Messi.
Jose Mourinho amepanga kikosi cha
makinda wengi na nyota wake C. Ronaldo amemtupa benchi.
0 COMMENTS:
Post a Comment