March 11, 2013




Beki nyota wa Man United, Rio Ferdinand amelaumiwa kutokana na kitendo kisicho cha kimichezo alichomfanyia Fernando Torres wa Chelsea.
Ferdinand alimtadika ngumi ya kisogoni mshambuliaji huyo wa Chelsea wakati mwamuzi akiangalia upande mwingine.
Hali hiyo imezua mjadala mkubwa miongoni mwa wadau wa soka kwamba kwa umri wake wa miaka 34 hakustahili kufanya kitendo alichofanya.
Vibaya zaidi, Rio hata baada ya kumpiga Torres na kuanguka, bado alimuinua kikatili huku akimlaumu kama alijiangusha.
Katika mechi hiyo ya jana ya nusu fainali ya Kombe la FA ambayo ilimalizika kwa sare ya mabao 2-2.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic