March 5, 2013




KIPINDI CHA PILI:

Dk 5 za nyongeza lakini hakuna lolote kwa Man United na baada ya mechi kwisha wachezaji wake wanamlaumu mwamuzi. Ferguson pia anaonekana kukasirishwa na mwamuzi.
Dk 90 zimekamilika
Dk 80 anatoka Welbeck na nafasi yake imechukuliwa na Ashley Young, inaonekana Modric ndiye anawachanganya zaidi Man United katikati ya uwanja



Dk 74 Wayne Rooney anaingia kuchukua nafasi ya Tom Cleverley. Man United angalau wanaanza kucheza ingawa inaonekana Madrid ndiyo waliotawala zaidi.


GOOOOO Dk 69 anapiga bonge la shuti, Man United 1 Real Madrid 1
GOOOOO dk 70 Ronaldo anafunga bao la pili kwa Madrid baada ya kuuwahi mpira we krosi wa Higuain.


DK 48 Sergio Ramos anajifunga na Man United wanapata bao la kwanza. Krosi iliyopigwa na Nani na kumgonga Wilbeck, mpira ukaenda moja kwa moja mguuni mwa Ramos ambaye alishindwa kuuzuia na kuujaza wavuni.
 
HALF TIME:
Man United 0 vs Real Madrid 0
Hadi sasa milango ni migumu na timu zinapambana kwa zamu. Inaonekana Man United wanacheza kwa tahadhari zaidi wakihofia mashambulizi ya kushitukiza ya Real Madrid.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic