Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Mchumia Tumbo amefanikiwa..
Marwa dhidi ya Mchumiatumbo....ilikuwa ni ngumi mawe..
Kaseba...JUU, akimchakaza Mtambo wa gongo, CHINI, akipongezwa na Dotnata
Mkongwe Joseph
Marwa aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kushinda pambano lake la uzito wa juu dhidi
ya Alphonce Mchumiatumbo, alijikuta akishindwa kuvumilia makonde zaidi katika raundi ya sita.
Marwa alichapwa
makonde mfululizo na kuanguka, hali iliyomfanya ashindwe kuendelea.
Wakati pambano
jingine, Japhet Kaseba alifanikiwa kumshinda mkongwe Maneno Oswald ‘Mtambo wa
gongo’ kwa pointi katika pambano lililokuwa na ushindani mkali.
Mapambano yote
yalifanyika kwenye Ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa jijini Dar es Salaam.
0 COMMENTS:
Post a Comment