April 23, 2013




Alex Fergusone alitua Manchester United mwaka 1986 akitokea Aberdeen ya kwao Scotland.

Tokea wakati huo ameibebesha Man United makombe 13 ya Ligi Kuu England na mchezaji mmoja tu, Ryan Giggs ndiye alikuwa na kocha huyo katika mataji yote 13.

Taji la 13 kwa Ferguson ni la 20 kwa klabu hiyo ambayo imezidi kujikita kileleni kwa makombe wengi na kuwaacha wapinzani wao na wababe wa zamani, Liverpool.

Pamoja na Giggs na Ferguson kuwa wenye makombe mengi zaidi, kuna wachezaji wengine pia walibeba makombe hayo wakiwa chini Ferguson.

Angalia chati hapo juu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic