April 22, 2013



 
Katika soka hakukosi vituko, katika mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Ruvu JKT na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, jana, kumeibuka TV mpya inayoitwa Ukombozi.


Ukombozi TV inaongozwa na mashabiki wa Yanga na vifaa vyake ni vya aina yake, halafu haionekani eneo lolote zaidi ya Uwanja wa Taifa.


Wanaoonekana kwenye Ukombozi TV ni mtangazaji na cameraman tu, lakini mashabiki hawana hiyana na wanakubali kuhojiwa.
Raha ya hiyo TV, inatangaza mechi na matukio ya Yanga tu. Hebu jionee mwenye namna watu wa Ukombozi TV wakiwa kazini.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic