May 18, 2013



 
KWA MUJIBU WA RUNINGA YA SUPERSPOT AMBAYO ILIONYESHA LIVE MECHI KATI YA Simba na Yanga, mechi ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imeingiza watazamaji 57,285.

Mara nyingi, idadi ya watu ambayo hutolewa na SuperSport kama inaonyesha mechi katika uwanja huo, hupishana na ile ambayo hutolewa na TFF wakati inatangaza mapato.

Mara nyingi ile ya TFF inakuwa na watu wachache  zaidi. Swali kwa sasa, je, TFF watatoa idadi chache ya watu kama ambavyo imekuwa ikitolewa na kutofautiana na ile ya SuperSport?

Tusubiri tuone baada ya siku mbili tu!

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic