May 18, 2013



Kiungo mkongwe wa Athumani Idd ‘Chuji’ ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mechi ya watani.

Chuji aliyecheza namba sita katika mechi ya watani leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar amekuwa mchezaji bora wa mechi hiyo.

Salehjembe limemteua Chuji kuwa mchezaji bora kutokana na uwezo aliouonyesha lakini SuperSport nayo baadaye ikamtanza Chuji kuwa mchezaji bora wa mchezo huo.


Chuji aliwathibiti washambuliaji wa Simba na ndiye alikuwa akianzisha mashambulizi karibu yote ya Yanga.

Chuji alipiga zaidi ya pasi nne ndefu ambazo zilifika, pia alikuwa akimchezesha kiungo Haruna Niyonzima ambaye pia alimtumia kama sehemu ya kuhifadhi mipira anapokwama.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic