June 10, 2013


Iniesta akiwa na Casillas..

Pamoja na kwamba wengi wamewahi kuzungumza, kiungo nyota wa Barcelona, Andres Iniesta naye amefunguka.

Iniesta amefunguka na kusema kocha wa zamani wa Real Madrid, Jose Mourinho ameharibu soka la Hispania.

Iniesta amesema kuna mambo mengi yamefanyika wakati wa kocha huyo hayakusaidia soka la nchi hiyo.


Lakini ajabu, Iniesta hakutaka kuendelea kufafanua baada ya kuombwa na waandishi kufanya hivyo, mwisho akasisitiza.

“Inawezekana sijaeleweka, lakini sijisikii kulizumgumzia hili.”

Upande mwingine inaonekana ni kama sehemu ya kumuunga mkono rafiki yake, Iker Casillas aliyekuwa katika mgogoro mkubwa na Mourinho ambaye alimuweka benchi kwa zaidi ya mechi 20.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic