June 7, 2013

Nyasi za Uwanja wa Old Trafford unaotumiwa na timu ya Manchester United zipo kwenye mabadiliko, ambapo hii ni mara ya kwanza baada ya kupita miaka 10.

Inaelezwa kuwa mchakato wa ubadilishaji nyasi utakuwa na jumla ya gharama za pauni 800,000.

Kocha wa timu hiyo aliyestaafu, Alex Ferguson aliwahi kulalamika mara kadhaa juu ya ubovu wa nyasi hizo zilizotolewa

Mara ya mwisho kwa uwanja huo kubadilishiwa nyasi ilikuwa kabla ya msimu wa 2003-2004.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic