June 11, 2013

 Tuliungana na wanakijiji wa hapa Hausen kuishangilia timu yetu ya kijiji iliyo daraja la sita.

Timu hiyo ya Hausen ilitakiwa kushinda mechi mbili ili ipande hadi daraja la tano.

Mechi ya kwanza ugenini tuliungana na wanakijiji tukasafiri kama Km 150, huko tukachapwa 4-2.
Marudiano hapa nyumbani, tukaungana nao, tukashinda 1-0 lakini ndiyo, timu imebaki daraja la sita.

“Hausen, Hausen, Hausen”
Nikiwa na majembe yangu



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic