August 10, 2013


Wakongwe Liverpool wamekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Celtic ya Uholanzi.

Katika mechi ya kurafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Aviva mjini Dublin, Liverpool ikicheza bila yam kali Luiz Suarez ilionekana kujitutumua lakini mwisho ikalala.

Hata hivyo hiyo imezua mjadala kama kweli Liverpool inaweza kuvumilia mikiki ya Premiership bila ya Mruguay huyo ambaye alilazimisha kwenda Real Madrid, timu na Kocha Brendan Rogers amesema aombe radhi mashabiki na wachezaji wenzake kabla ya kupewa nafasi ya kuendelea kuitumikia.


Liverpool: Mignolet, Johnson, Toure, Wisdom, Enrique, Lucas, Gerrard, Allen (Henderson 58), Downing (Ibe 72), Aspas (Sturridge 46), Coutinho.
Subs not used: Jones, Alberto, Assaidi, Coates, Borini, Sterling, Kelly, Flanagan.
Celtic: Zaluska (Forster 46); Matthews, Lustig, Mouyokolo, Izaguirre (Findlay 64); McGeouch, Kayal (George 84), Irvine, Stokes; Balde (Atajic 70), Watt (Henderson 84).
Subs not used: Fisher, Herron.
MABAO: Balde 12.
kadi: Stokes.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic