August 10, 2013

 Mo Farah wa Uingereza ameonyesha sasa ni moto wa kuotea mbali baada ya kushinda mbio za mita 10,000 katika ubingwa wa dunia jijini Moscow, Urusi.

Farah ameshinda mbio hizo na kumuacha Jeilan wa Ethiopia ambaye miaka miwili iliyopita alimshinda Farah.

Pamoja na kushinda mbele ya Jeilan, Farah ambaye ni Mwingereza mwenye asili ya Somalia ameweka rekodi kwa kuwa hakuna mwanariadha wa Uingereza aliwahi kushinda mbio hizo kwa urefu huo.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic