August 8, 2013



WACHEZAJI Musa Hassan Mgosi na kipa Juma Kaseja, leo asubuhi wameungana na wachezaji wa Mtibwa Sugar kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa Jamii uliopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

Mgosi na Kaseja walikuwa pamoja katika kikosi cha Wekundu wa Msimbazi ‘Simba SC’. Mgosi kwa sasa ni mchezaji wa Mtibwa Sugar wakati Kaseja bado hatma yake haijafahamika baada ya kuachana na Simba msimu uliopita.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic