August 11, 2013

 Nyota mpya wa Barcelona, Neymar ameonyesha atakuwa msaada mkubwa wa timu hyio hata kama Messi atakosekana.
Katika mechi ya kirafiki dhidi ya Malaysia XI,Neymar ameonyesha uwezo mkubwa ikiwa ni pamoja na kufunga bao safi.
Barcelona iliyomkosa Messi kutokana na kuwa majeruhi imeshinda kwa mabao 3-1.

Cesc Fabregas alikuwa wa kwanza kufunga akisawazisha bao lililofungwa na Amri wa Malaysia XI waliokuwa wanashangiliwa kwa nguvu na mashabiki wao wa nyumbani.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic