August 6, 2013



STAA wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametupia picha kwenye mtandao wa kijamii akiwa na mastaa wa Marekani, Shaquille O'Neal ambaye ni nyota wa zamani wa Ligi ya NBA pamoja na mwanamuziki Jennifer Lopez.
Ronaldo alikutana na mastaa hao mara baada ya mechi ya kirafiki dhidi ya Everton kwenye Uwanja wa Dodger pande za Los Angeles, Marekani ambapo ndipo kambi ya timu yake ilipo ikijiandaa na msimu mpya wa 2013/2014.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic