September 26, 2013





Rapa maarufu, Kanye West amenunua gari la kisasa ambalo lina uwezo wa kuzuia mapaparazzi pamoja na watu wanaoweza kutumia gesi au aside kutaka kumuumiza.


Gari hilo ambalo limetengenezwa nchini Urusi lina vitasa vyenye umeme ambavyo vinakuwa tatizo kubwa kwa watu wenye tabia za kudandia au kutaka kuyafungua magari ya watu nyota.


Watu wengi matajiri na maarufu wamekuwa wakiyanunua magari ya aina hiyo kwa fujo kutokana na kutaka kuwa salama zaidi.
Wengine ambao wamenunua gari kama hilo ni rapa T.I. pamoja mwigizaji maarufu, Sacha Baron Cohen.
Wahusika katika kampuni inayotegeneza gari hilo ambalo kiaina linafanana na lile aina ya Hammer, wamesema wasanii na nyota wa filamu pamoja na watu wenye fedha ambao hawajulikanisa sana wamekuwa wakiyanunua magari hayo kwa fujo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic