BACUNA (KULIA) AKISHANGILIA |
Leandro Bacuna na Aleksandar
Kozak ndiyo wameifungia mabao mawili Aston Villa ambayo imefanikiwa kuiangusha
Cardiff kwa mabao 2-0.
Ingawa ilionekana Cardiff ingeweza kuhimili vishindo hadi mwisho katika mchezo huo wa Ligi Kuu England kwenye Uwanja wa Villa Park, Bacuna na Kozak walibadilisha mambo na kuwafanya wageni waondoke vichwa chini.
Aston
Villa: Guzan, Clark, Vlaar, Baker, Bacuna, Sylla,
Westwood, El Ahmadi (Lowton 74), Tonev, Kozak, Benteke. Subs not used: Helenius, Steer, Herd, Bowery, Johnson, Robinson.
Westwood, El Ahmadi (Lowton 74), Tonev, Kozak, Benteke. Subs not used: Helenius, Steer, Herd, Bowery, Johnson, Robinson.
Cardiff: Marshall,
Theophile-Catherine, Caulker, Turner,
Taylor, Medel, Cowie, Gunnarsson (Mutch 65), Whittingham, Bellamy (Maynard 82), Odemwingie (Campbell 55). Subs not used: Hudson, Kim, Noone, Lewis.
Taylor, Medel, Cowie, Gunnarsson (Mutch 65), Whittingham, Bellamy (Maynard 82), Odemwingie (Campbell 55). Subs not used: Hudson, Kim, Noone, Lewis.
Referee: Martin Atkinson.
Attendance: 35,809
0 COMMENTS:
Post a Comment