SALEH ALLY AKIWA NA KOMBE HILO MAKAO MAKUU YA FIFA JIJINI ZURICH NCHINI USWISS |
Kombe la
Dunia ambalo litashindaniwa katika michuano itakayofanyika mwakani nchini
Brazil litawasili nchini Novemba 29.
Kombe
hilo litakuwa katika ziara ya siku kadhaa nchini likipita katika zaidi ya nchi
80.
Ziara hiyo
itaendelea hadi hapo michuano hiyo itakayoanza kufanyika katikati ya mwakani
nchini Brazil.
Hii ni
mara ya tatu kufika hapa nchini likitembezwa jijini Dar es Salaam kwa uenyeji
wa kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola.
0 COMMENTS:
Post a Comment