ABOUTRIKA, ATAWEZA KUIKOA MISRI LEO KWENYE DIMBWI LA 6-1 |
Baada ya Ivory Coast na Nigeria
kufuzu kucheza Kombe la Dunia jana, leo ni zamu ya Ghana na Cameroon.
Cameroon inaivaa Tunisia ikiwa
nyumbani huku Misri ikiwa nyumbani dhidi ya Ghana huku ikiwa na kumbukumbu ya
kuchapwa mabao 6-1. Mechi hiyo itachezwa keshokutwa Jumanne.
Mechi nyingine ya ambazo zitachezwa Jumanne ni Burkina Faso
dhidi ya Algeria ambao watakuwa nyumbani.
Wakiwa ugenini, Algeria walichapwa
mabao 3-2 lakini wakalalamika kwamba penalti moja ilikuwa ni ya fitna kabisa.
0 COMMENTS:
Post a Comment