Hadithi ya usajili wa Hassan Dilunga
imezidi kuchukua nafasi nyingi, safari imeelezwa kuwa ni kweli amesajiliwa
Yanga.
Awali taarifa za kusajiliwa kwake
Yanga zilisambaa lakini Dilunga aliileza SALEHJEMBE kwamba hajasajili Yanga.
Lakini leo, SALEHJEMBE imezungumza na
Abdallah Bin Kleb ambaye amesisitiza kwamba tayari Dilunga ni mali yao.
“Inawezekana labda ni uoga tu wa
kuzungumza na waandishi lakini tayari Dilunga tumemalizana naye na ni mchezaji wa
Yanga,” alisema Bin Kleb.
0 COMMENTS:
Post a Comment