Wachezaji
wa sita wa Arsenal, Waingereza na Wajerumani walishindana kuendesha ndege ya
Shirika la Emirates.
Wachezaji
Alex Oxlade-Chamberlain, Kieran Gibbs na Carl Jenkinson upande wa England,
halafu Wajerumani Lukas Mertesacker, Lukas Podolsk na Mesut Ozil nao
walionyesha ujuzi.
Wote
walionyesha ujuzi wa kuendesha ndege kubwa aina ya A380 Airbus lakini kwa
kutumia kifaa maalum ambacho wakiwa ndani inakuwa ni sawa na kwenye ndege
halisi.
Kifaa
hicho ambacho hutumika kuwafunza marubani, ilikuwa burudani kwa wachezaji hao
ambao walikuwa wamevalia jezi zao zinazoonyesha Emirates ndiyo mdhamini mkuu.
0 COMMENTS:
Post a Comment