December 1, 2013





Ajali mbaya ya gari imemuua muigizaji maarufu wa Hollywood, Paul Walker.
 
Walker alikuwa anajulikana kupitia filamu za Fast & Furious , amepata ajali hiyo jana akiwa kwenye gari lenye kasi aina ya Porsche GT lililogonga mti na kuripuka.

Walker, 40, aliyeshiriki filamu tano kati ya sita za Fast& Furious amepoteza maisha akiwa katika siti ya abilia baada ya rafiki yake aliyekuwa anaendesha gari hilo kumshinda na kuuvaa mti huo.





ENZI ZA UTOTO WAKE







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic